0 Comment
NA FARIDA MANGUBE, MOROGORO Katika jitihada za kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika utafiti wa misitu na uhifadhi wa mazingira, wataalamu 10 kutoka Chuo Kikuu cha St. Petersburg nchini Urusi wametembelea Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA). Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha mahusiano ya kisayansi, kielimu na kiteknolojia kati ya Tanzania na Urusi katika... Read More