0 Comment
Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho wa Kampeni mkoani Simiyu. Katika mkutano huo wa kampeni,Balozi Dk.Emmanuel Nchimbi aliwanadi Wabunge wa Mkoa... Read More