0 Comment
Na Seif Mangwangi, Arusha KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025, Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa Waandishi wa habari wanaojihusisha na siasa kwa kugombea nafasi mbalimbali uongozi na kuwataka kuacha kazi hiyo ili kuleta usawa. Akizungumza na vyombo vya habari leo Julai2, 2025 Jijini hapa, Katibu Mtendaji... Read More