0 Comment
Na Khadija Kalili, Michuzi TV MKURUGENZI wa Rasilimali Watu na Mafunzo ya Wizara ya Afya Dkt. Saitore Laizer aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya kufunga mafunzo ya wahitimu kutoka Chuo Kikuu Cha MUHAS amesema amefurahishwa na tasnia hiyo kuoata mafunzo kwani katika hali ya hali ya kawaida matabibu na wataalamu wa afya hawafundishwi uongozi. Ikumbukwe... Read More