0 Comment
-Wasira akabidhi kwa niaba ya Rais Samia RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa sh. milioni 50 kuchaia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu. Akiwasilisha mchango kwa niaba ya Rais Samia, wilayani Maswa, jana, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira alisema Dk. Samia anatambua mchango wa viongozi wa... Read More