0 Comment
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro. Kati ya fedha hizo, jumla ya shilingi Bilioni 4.450 zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu... Read More