0 Comment
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), kilicho chini ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), kimetambuliwa kuwa miongoni mwa taasisi bora barani Afrika kutokana na utendaji wake mzuri katika utoaji wa mafunzo ya usalama wa anga kwa mwaka 2024. CATC kimeorodheshwa miongoni mwa taasisi tatu bora katika kanda ya Afrika Mashariki na Kusini... Read More