0 Comment
Na Mwandishi wetu Ngorongoro. Baadhi ya watalii waliokuwa katika safari zao za kawaida kwenye eneo la hifadhi ya Ngorongoro leo jumatano tarehe 9 Julai 2025 walijikuta katika furaha baada ya kushuhudia Mwenge wa Uhuru ukiingia wilayani Karatu kutokea wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha. Watalii hao walionekana wakisimamisha magari yao ili kushuhudia namna Mwenge wa Uhuru ... Read More