0 Comment
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amepongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kuwa mfano bora wa utekelezaji wa ajenda ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia nchini. Amesema kuwa STAMICO imeonyesha mwelekeo sahihi kupitia uzalishaji wa mkaa mbadala uitwao Rafiki Briquettes, unaotokana na makaa ya... Read More