0 Comment
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini (Mb)akisalimiana na mteja alitembelea banda la wizara ya Katiba na Sheria Katika Maonesho ya 49 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea banda... Read More