0 Comment
Na Jackline Minja WMJJWM- Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka watumishi wa Kituo cha Huduma kwa wateja kuwajibika kwa kuwahudumia wananchi na kutatua changamoto zao. Mhe. Maryprisca ameyasema hayo leo tarehe 10 Desemba, 2025 alipotembelea kituo hicho ikiwa ni ziara ya kujifunza namna kinavyowahudumia Read More











