0 Comment
Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta wamewekeana saini mkataba na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech, Bw. Roman Glorig wa kuhuisha rasmi nafasi yake ya uwakilishi wa heshima. Balozi Mwamweta alisaini mkataba huo Septemba 02, 2025 kwa niaba ya Waziri wa Mambo... Read More