0 Comment
*TARURA Ruvuma kutekeleza Miradi ya Bilioni 22 kwa mwaka 2025/2026 Ruvuma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Ruvuma umeendelea kunufaika na uwekezaji mkubwa wa Serikali katika miundombinu ya barabara, hatua inayochochea maendeleo ya kiuchumi, kilimo, na uhifadhi wa mazingira. Meneja wa TARURA mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo, amesema kwa mwaka... Read More









