0 Comment
Na Janeth Raphael MichuziTv – BUNGENI Dodoma KATIKA mwaka wa fedha 2025/26, Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kutekeleza vipaumbele vitano ikiwemo kuendelea na utekelezaji wa sera na mitaala, mapitio ya sheria na kuandaa miongozo ya utoaji wa elimu na mafunzo. Vipaumbele hivyo vimetajwa leo Mei 12,2025 bungeni na Waziri wa Elimu,Sayansi... Read More