0 Comment
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewataka Wanasheria kuwa walinzi na kuongeza umakini katika kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira kwa maslahi ya taifa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 3 Septemba, 2025 wakati akifungua mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu sekta ya mazingira yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi ya... Read More