0 Comment
UMOJA wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) umekutana ilikujadili mambo matatu muhimu ikiwemo kusaini makubaliano yatakayosaidia umoja huo ikiwa ni kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025. Makubaliano hayo yanatokana na mkakati waliojiwekea kwa kipindi cha miaka minne na tatu ni namna gani ujumbe wa CoRI utafika kwa jamii Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha... Read More