0 Comment
Na Khadija Kalili, Pwani HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha imekabidhi hundi ya Sh.bilioni 2.1 kwa wafanyabiashara wadogo waliopo katika Halmashauri hiyo ikiwa ni fedha za makusanyo ya mapato ya ndani ya asilimia 10 kwa ajili ya vijana, wanawake na walemavu. Hundi hiyo inekabidhiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt . Roger’s Shemwelekwa jana Oktoba 23/2025... Read More











