0 Comment
NA Sophia Kingimali. WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika(VETA) wametakiwa kuzingatia maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya kupata ajira. Pia,wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanapeleka watoto wao kwenye chuo hicho ili waweze kupata mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kujiajili na kuounguza wimbi la vijana waliopo mtaani Read More











