0 Comment
Kutokana na vitendo vya ukatilia vinavyoendelea kukithiri nchini Jumuiya ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Taifa (SMAUJATA) imewataka Watanzania kuwa na moyo wa ustahimilivu wanapokutwa na changamoto mbalimbali badala ya kuchukua maamuzi yanayoweza kuigharimu jamii katika maisha. Wito huo umetolewa na mkurugenzi wa uenezi,vijana na michezo wa Jumuiya hiyo Ndugu Johnson Mgimba hii... Read More