0 Comment
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Kamati Maalum ya Uangalizi ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu Mageuzi ya Taasisi za Umoja wa Afrika, uliyofanyika kwa njia... Read More









