0 Comment
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Tovuti mpya na mfumo wa TANCIS ulioboreshwa utakaosaidia kurahisisha uondoshaji wa shehena Bandarini, katika Viwanja vya Ndege pamoja na mipakani. Akizindua mfumo huo leo Januari 20, 2025 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya TRA Mussa Uledi amesema mfumo wa TANCIS utapunguza kuonana kwa watu baina ya TRA... Read More