0 Comment
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro akielezea kuhusu mashindano hayo. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Katika kusherehekea mapumziko ya mwisho wa mwaka, mdau wa michezo Mhandisi James Jumbe ametangaza rasmi kuanza kwa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA ‘Shinyanga Imeamka!’ yatakayofanyika katika wilaya ya Shinyanga.... Read More