0 Comment
NA JOHN BUKUKU- NJOMBE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa uwanja mpya wa ndege mkoani Njombe ili kurahisisha usafirishaji wa mazao ya biashara, hususan parachichi na chai, kwenda sokoni. Akizungumza kwenye mkutano wa... Read More