0 Comment
Na Mwandishi Wetu – Dodoma Katika jitihada za kuendeleza usawa wa kijinsia na kumaliza vitendo vya ukatili, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kupitia mradi wake wa Tuinuke Pamoja, umefanikiwa kuandaa mdahalo wa ngazi ya mkoa uliowakutanisha wadau kutoka halmashauri tatu za Mkoa wa Dodoma: Chemba, Kondoa Mji na Kondoa DC. Mdahalo huo ulifanyika katika kata... Read More