0 Comment
Waziri mstaafu wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu. ………. Na Hellen Mtereko, Mwanza. Zikiwa zimesalia siku tano kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofayika Oktoba 29, 2025 Waziri mstaafu wa Maliasili na Utalii amewasili jijini Mwanza kwajili ya kuzungumza na makundi ya vijana juu ya umuhimu wa kuilinda amani ya nchi. Nyalandu amewasili Mwanza leo Oktoba 24,... Read More








