0 Comment
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mei 22, 2025 Mkoa wa Pwani umejipanga kushinda katika mashindano ya kitaifa ya UMISSETA na UMITASHUMTA, yanayotarajiwa kufanyika mkoani Iringa kuanzia Juni 8 hadi Julai 4, 2025. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa vyakula kwa ajili ya wanamichezo watakaoshiriki katika kambi ya maandalizi ya siku 14 katika Shirika la Elimu Kibaha,... Read More