0 Comment
Jeshi la Polisi limeona picha mjongeo inayosambaa katika mitandao ya kijamii akionekana Mwanamke mmoja akimhamasisha na kumnywesha pombe mtoto mdogo jambo ambalo ni ukatili kwa mtoto na ni kinyume na sheria za nchi. Sheria hizo ni pamoja na Sheria ya Mtoto Sura ya 13 na Urekebu wa mwaka 2023 kifungu cha 9 (3) na 13... Read More