0 Comment
Na Humphrey Shao GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba amesema miamala ya kifedha ya kidigitali imeongezeka zaidi ya milioni 500 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2025/26 ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Hayo ameyasema leo jijini Dar es salaam kwenye uzinduzi wa kampuni ya Visa iliyotambulika kama “Visa Day” ambapo imefungua ofisi... Read More