0 Comment
Na Said Mwishehe,Michuzi TV PEPSI Tanzania, inayozalishwa na kusambazwa na SBC Tanzania Ltd, kampuni ambayo imekuwa ikiburudusha na kukata kiu ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 24,imetangaza kuendeleza ushirikiano wake wa kibiashara na Diamond Platnumz, Supa-Staa wa muziki Tanzania na Nyota wa kimataifa. Ushirikiano huo kati ya SBC na mwanamuziki maarufu katika muziki wa Bongo... Read More