0 Comment
Na MWANDISHI WETU BENDI ya muziki wa dansi ya The Arican Stars Internatiobal ‘Twanga Pepeta’ inatarajia kufanya onesho kubwa na la aina yake katika Ukumbi wa New Wallet Pub, uliopo Kwa Rais, Kata ya Pugu, Ilala, jijini Dar es Salaam. Onesho hilo linatarajiwa kufanyika Julai 19 mwaka huu na litakuwa halina kiingilio. Akizungumza na waandishi... Read More