0 Comment
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga, ameongoza hatua muhimu katika maboresho ya huduma kwa wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuzindua namba ya bure ya huduma kwa wateja – 180. Uzinduzi huu unalenga kurahisisha mawasiliano kati ya TANESCO na wateja wake, huku ukihakikisha changamoto zinatatuliwa kwa haraka na kwa ufanisi zaidi. Hatua... Read More