0 Comment
Na Oscar Assenga,Tanga. MSIMAMIZI wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga Mhandisi Juma Hamsini amesema kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu utazingatia 4R za Rais Dkt Samia Suluhu. Mhandisi Hamsini aliyasema hayo leo wakati akizungumza waandishi wa habari ofisini kwake kuelekea kwenye uchaguzi huo ambapo alisema kwa Jiji... Read More