0 Comment
Na Farida Mangube, Morogoro CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanzisha mitaala mipya ya Ualimu wa Amali kwa ajili ya walimu wa shule za sekondari, ili kuwawezesha kufundisha masomo yenye mwelekeo wa kuwaandaa wanafunzi kujiajiri. Hatua hii inalenga kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana nchini. Akizungumza na waandishi wa habari... Read More