0 Comment
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Jumla ya waombaji laki moja elfu ishirini na nne mia mbili Themain na sita (124,286) wametuma maombi ya kujiunga katika vyuo vikuu themanini na sita (86) vilivyoidhinishwa kudahili wanafunzi katika shahada ya kwanza, na jumla ya programu 856 zimeruhusiwa kudahili ikilinganishwa na programu 809 mwaka 2023/2024 ikiwa ni ongezeko la... Read More