0 Comment
Serikali ya Nigeria, hivi leo imewashtaki watu 10 kwa makosa ya uhaini na kuchochea jeshi kufanya uasi kufuatia maandamano ya kitaifa ya mwezi uliopita, ambapo maelfu ya raia walijitokeza kupinga kupanda kwa gharama ya maisha. Wanaume 10 walifikishwa katika Mahakama Kuu ya Abuja ambapo walikana mashtaka dhidi yao, na ikiwa watapatikana na hatia watakabiliwa na... Read More