0 Comment
Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nahodha Mussa Mandia akizungumza na waandishi wa Habari mara alipotembea k Banda la TASAC kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ‘Sabasaba’ jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nahodha Mussa Mandia akipata maelezo wakati alipotembelea Banda la TASAC kwenye... Read More