0 Comment
Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa ili kuhakikisha kwamba TARURA haiendi kukwama kwenye utekelezaji wa ujenzi wa barabara vijijini zaidi ya Bilioni 300 zimekusanywa kutokana na Hatifungani ya Miundombinu ya barabara za Wilaya (Samia Infrastructure Bond). Rais Samia ameyasema hayo jana wakati wa Mkutano Mkuu wa 39... Read More