0 Comment
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa jitihada kubwa za kuimarisha utendaji wa Sekta ya Bandari Nchini unaowezesha ufanisi wa huduma za kibandari zenye Mchango mkubwa katika ukusanyaji wa Mapato ya Serikali. Pongezi hizo zimetolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Mwenda alipotembelea Bandari ya Tanga... Read More