0 Comment
Na. Jacob Kasiri – Ruaha. Wananchi walioingiza mifugo kinyume cha sheria ndani ya Hifadhi ya Taifa Ruaha Mei 07, 2025 wamekiri kuingiza mifugo hiyo na kuahidi kutorudia tena na kuwa walimu wa kuelimisha wenzao juu ya athari zinazosababishwa na ng’ombe ambazo zimeendelea kuleta madhara makubwa katika ikolojia na ustahimilivu wa Mto The Great Ruaha. Mkuu... Read More