0 Comment
*Kila wilaya kunufaika na mitungi ya gesi 3,255 *REA yachochea ushiriki wa wanawake katika shughuli za kiuchumi *Mradi kupunguza ukataji wa miti unaosababisha mabadiliko ya tabianchi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Lake Gas Limited ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 13,020 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika... Read More