0 Comment
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja leo tarehe 10 Machi, 2025 amewatembelea na kuzungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Ziwa jijini Mwanza wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati)... Read More