0 Comment
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Dennis Londo (Mb.), ameishukuru Serikali ya Shirikisho la Uswisi kwa mchango wake katika maendeleo ya jamii kupitia utekelezaji wa miradi ya kisekta inayofadhiliwa na nchi hiyo katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mhe. Londo amesema hayo tarehe 24... Read More