0 Comment
NIRC Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi mradi wa bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma. Kamati hiyo imesema, ujenzi wa bwawa umeendana na thamani ya fedha iliyowekwa. Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo katika mradi wa wa bwawa la Membe Mwenyekiti wa... Read More