0 Comment
Na Silivia Amandius. Bukoba, Kagera. Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Mhe. Erasto Sima, amesikiliza na kushughulikia kero za wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Katoju, Kata ya Bujugo, mnamo Aprili 2, 2025. Wananchi walilalamikia changamoto kadhaa, ikiwemo ugawaji holela wa ardhi ya kijiji kwa wawekezaji bila kufuata taratibu, utapeli katika mchakato wa kuunganishiwa... Read More