0 Comment
Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) wakionyesha mshikamano wao kwa kubeba bango wakati wa maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika leo Mei 1, 2025 katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam. Picha za matukio mbalimbali ya Wafanyakazi wa Kampuni ya... Read More