0 Comment
Na Mwandishi Wetu UBALOZI wa Tanzania nchini Namibia kwa kushirikiana na Chuo cha Triumphant wameandaa Kongamano la Kwanza la Kiswahili lililozungumzia mchango wa lugha ya Kiswahili katika harakati za ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika hususan Namibia. Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo lililofanyika Aprili 25, 2025 alikuwa Lt.Gen.(Rtd) Epaphras Denga Ndaitwah, Mwenza wa Rais... Read More