0 Comment
OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa maelekezo mahsusi nane kwa viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ikiwamo kufanya tathmini ya kina na kuchukua hatua za haraka kwa watumishi wanaoshiriki kuhujumu mfumo wa mapato kwenye maeneo yao. Akifunga Machi 12, 2025 Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za... Read More