0 Comment
Serikali, itaendelea kuimarisha maendeleo katika ya habari, vijana, utamaduni na michezo ili iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi. Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Tabia Maulid Mwita, amesema hayo wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi huko Rahaleo... Read More