0 Comment
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Mazingira Prof. Peter Msoffe akisalimiana na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Paul Masanja alipowasili katika Ofisi hizo zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo Juni 28, 2025. Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Mazingira Prof. Peter Msoffe akisaini kitabu ofisini kwa Katibu Mkuu alipowasili katika Ofisi hizo zilizopo Mji wa Serikali... Read More