0 Comment
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imezindua rasmi kampeni ya Kili Challenge 2025 ikiwa ni hatua muhimu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU na UKIMWI nchini. Mpango huu, unaoendeshwa kwa ushirikiano na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), unalenga kuchangisha fedha za ndani ili kusaidia jitihada mbalimbali za kupambana na UKIMWI... Read More