0 Comment
………………… Na Neema Mtuka Sumbawanga Rukwa :Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Rukwa limewataka wateja wanaodaiwa kulipa madeni yao ili kuwezesha huduma kwa wananchi. Akizungumza katika kikao kazi cha TANESCO Mkoa wa Rukwa na Waandishi wa Habari Julai 6 2025, Meneja TANESCO Mkoa wa Rukwa Mhandisi Johnson Mwigune amesema kuwa mpango wa shirika hilo... Read More