0 Comment
MKUU wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego amelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa utekelezaji wa majukumu yake ya kuhakikisha Sekta ya usafiri majini inachangia kukuza Uchumi wa Taifa. Ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea Banda la TASAC, leo tarehe 26 Aprili,2025 katika Maonesho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali Pa... Read More