0 Comment
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema uvamizi wa wanajeshi wake katika eneo la Kursk nchini Urusi ni sehemu ya “mpango wa ushindi” ambao atauwasilisha kwa Rais wa Marekani Joe Biden mwezi ujao. Akizungumza katika kongamano siku ya Jumanne, Rais Zelensky alisema mafanikio ya mpango huo yatategemea Rais Biden na iwapo Marekani itaipa Ukraine “kile kilicho... Read More