Leo kumekuwa na mdahalo wa wgombea wa uongozi wa wafanyabiashara wa soko la kimataifa Karia koo ambao wagombea wanafasi ya kuanzia mwenyekiti mpaka mtumza fedha wa jumuiya ya wafanyabiashara hao walifika mbele ya wafanyabiashara kunadi hoja zao watakazoenda kutekeleza endapo wakipewa nafasi ya kuongoza katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi tarehe 20. Itakumbukwa kwa mwaka huu... Read More