Na Prisca Libaga Arusha. Wafanyabiashara ndogondogo nchini wanatarajia kuanza kunufaika na mikopo kutoka mfuko wa uwezeshaji uliotengwa na serikali yenye thamani ya Sh18.5 Bilioni kupitia kwenye benki ya NMB. Wafanyabiashara hao wanatarajia kuanza kunufaika na mikopo hiyo yenye riba ya asilimia saba pekee kupitia benki ya NMB iliyoingia makubaliano na serikali ya kuratibu fedha hizo... Read More