Shirika la kupambana na ufisadi nchini Korea Kusini limewataka polisi kuchukua jukumu la kutekeleza agizo la kukamatwa kwa Rais aliyeondolewa madarakani Yoon Suk-yeol baada ya wapelelezi wake kushindwa kumweka rumande kufuatia mzozo kati ya idara ya usalama ya rais wiki iliyopita. Shirika hilo na polisi walithibitisha majadiliano hayo siku ya Jumatatu, saa chache kabla ya... Read More