Mkuu wa kanda ya Nyanda za Juu kusini wa Vodacom Tanzania Bw. Abednego Mhagama (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi laki tano mshindi wa droo ya tano ya Kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi kutoka kampuni hiyo Bi. Upendo Eliamringi (wa pili kulia) katika Duka la Vodacom lililopo Jijini Mbeya mwishoni mwa... Read More