*Kujengwa kwa miezi 27 *Barrick kufadhili kwa asilimia 100 KAHAMA Imeelezwa kwamba Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Barrick inaendelea na utekelezaji wa ujenzi wa Barabara ya Kahama hadi Bulyanhulu yenye urefu wa kilomita 73.9 kwa kiwango cha lami itakayogharimu kiasi shilingi zaidi ya bilioni 100. Hayo yalielezwa hivi karibuni na Meneja... Read More