Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Naibu Spika Mhe. Mussa Hassan Zungu wakiingia ukumbini katika harambee aliyoongoza kuchangia gharama za matibabu ya watoto wenye matatizo ya moyo kutoka familia zisizo na uwezo iliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Heart Team Africa... Read More