Rais Samia Suluhu Hassan Jumatatu alithibitisha uwepo wa mlipuko hatari wa virusi vya Marburg kaskazini magharibi mwa nchi, huku kesi nyingine moja ya ugonjwa huo ikiripotiwa. “Vipimo vya maabara vilivyofanyika katika maabara ya huko Kagera na baadaye kuthibitishwa jijini Dar Es Salaam, vilibaini mgonjwa mmoja alikuwa na virusi vya Marburg,” alisema katika mkutano na baadhi... Read More