*Apiga marufuku wageni kwenda kununua madini machimboni *Aweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la madini *Asema wafanyabiashara wa madini Tunduru ni mfano wa kuigwa kwa kujenga Soko la madini kwa kushirikiana na Serikali Tunduru, Ruvuma. Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amepiga marufuku biashara ya madini kufanyika majumbani kwa watu na kusisitiza kwamba... Read More