Mwenyekiti wa Baraza la vijana wa Chadema mkoa wa Rukwa Benjamin Mizengo wakati akimkabidhi mkuu wa kituo msaada ………………. Na Neema Mtuka ,Sumbawanga Rukwa Katika kuendelea kuigusa na kurudisha kwa jamii baraza la vijana wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAVICHA) Mkoa wa Rukwa kimetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto yatima cha mtakatifu... Read More










