Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa VETA katika Mkutano uliofanyika Chuo cha VETA Singida. MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza rasmi maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1995. Akizungumza na wanahabari leo, tarehe... Read More










