Na Mwandishi wetu, Arusha Mashirika ya Water Aid na Habitat for Humanity Tanzania wamefanikiwa miradi ya ujenzi wa vyoo kwenye masoko ya Kata za Olmotonyi na Olturumet Mkoani Arusha. Watumiaji na wafanyabiashara 5,000 wa masoko hayo, waliokosa huduma ya vyoo kwa muda mrefu wameondokana na tatizo hilo baada ya vyoo bora kuzinduliwa. Mkurugenzi wa Taifa... Read More










